Saturday, September 6, 2014

MABADILIKO YA HALI YA HEWA KATIKA MANISPAA YA DODOMA KWA SIKU NNE MFULULIZO ,BARIDI,UPEPO NA MAWINGU UTAZANI TUKO NYANDA ZA JUU KUSINI

 Hiyo ndiyo Dodoma picha hizo zimepigwa baada ya kajua kujitokeza  kidogo lakini baridi ni palepale,mchana na usiku. Mzunguko wa Stendi kuu ya Mkoa wa Dodoma
 Kushoto kwako ni barabara kutokea Bungeni kuelekea mjini,na Kulia kwako ni barabara kutoka mjini kuelekea Bungeni au Morogoro.
 Barabara ya kuelekea Dodoma Sekondari
Kituo cha Bodaboda  Bohari jirani na Muungano Club na Dispensary ya Makole mkabala na maktaba ya Mkoa wa Dodoma

No comments:

Post a Comment