Thursday, September 18, 2014

VIJANA WANASEMA MAANDAMANO HAYANA NAFASI KWAO KWA KUWA HAYATAWASAIDIA KWENYE KUTATUA MATATIZO YAO YA AJIRA

 Vijana wa hawa wanawashangaa UKAWA ambao walitaka kufanya maandamano kuelekea Bungeni hapa Dodoma.Vijana hawa wamejiajiri katika uuzaji wa matunda
Huyu Kijana na mwenyekiti wa Bodaboda katika manispaa ya Dodoma akielekea kijiweni kwao.Ambapo hawa wamejiajiri kwenye bodaboda.

 Matunda nayo ni muhimu ambayo yamekuwa ni ajira kwa vijana

Kijana huyu amejiajiri na hapa yupo ofisini kwake.

No comments:

Post a Comment