Friday, September 5, 2014

NAIBU WAZIRI WA KILIMO NA CHAKULA MHE.GOFREY ZAMBI AWAPONGEZA WATOTO WADOGO WANACHAMA WA VICOBA DODOMA WAKATI AKIZINDUA VIKOBA ENDELEVU MKOANI DODOMA HIVI KARIBUNI

 Naibu Waziri wa Kilimo chakula na Ushirika Mhe.Godfrey Zambi akiwasalimia watoto wanachama waVIBOBA kabla hajafanya uzinduzi wa VICOBA endelevu mkoani Dodoma hivi karibuni.
 Mhe.Zambi akwasalimia watoto wa VICOBA na ni  wanachama waVicoba Mkoani Dodoma
 Akikagua bidhaa mbalimbali kutoka  VIKOBA
 Wkiwa tayari kupokea maandamano ya wanacha wa VICOBA katika viwanja vya Mwl. Nyerere Mjini Dodoma Hivi karibuni.
 Mh . Zambi akiangalia shati la kitenge kikundi cha VICOBA wakati akitembelea miradi ya wanavicoba kabla ya uzinduzi wa VICOBA Mjini Dodoma hivi karibuni.
 Maandamano ya wanachama wa VICOBA yakiingia katika viwanja vya Nyerere Square katika Manispaa ya Dodoma wakati Naibu Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika Mhe.Godfrey Zambi akiwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa VICOBA Mkoani Dodoma hivi karibuni.
 Rais wa VICOBA Nchini Mhe. Devota Likokola Mkuwa kwenye nguo iliyoandikwa VICOBA akimweleza Mgeni rasmi umuhimu wa kuweka akiba kwa kutumia kitabu cha kuweka akiba.
 Mhe. Likokola akipokea maelezo kutoka LAPF Jinsi mfuko huo unavyo wasaidia wananchi waliosataafu na wale wanaopenda kujiunga ili wapatiwe mikopo hasa ya ujasiliamali.
 Rais wa VICOBA Mhe. Devota Likokola Mkuwa akitoa utambulisho kwa wanachama na wageni mbalimbali waalikwa katika uzinduzi huo Mkoani Dodoma hivi karibuni.
Mlezi wa VICOBA Mkoani Dodoma  Bw.Anthon Mavunde.kijana aliyeaminiwa,pia ni mwanasheria

No comments:

Post a Comment