Friday, September 5, 2014

ZIARA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE MKOANI DODOMA ILIFANA KATIKA UZINDUZI WA MIRADI KADHAA YA MAENDELEO KATIKA AWAMU YAKE YA NNE KISHA KUZUNGUMZA NA WAZEE WA DODOMA

 Katika baadhi ya miradi ya Maendeleo iliyofanyiwa uzinduzi katika ziara ya kikazi Mkoani Dodoma Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete ni nyumba za Shirika la nyumba la Taifa Medeli katika Manispaa ya Dodoma.
 Nyumba hizo zinapangishwa na kuuwa kwa wananchi.Mwananchi yeyote anaweza akanunua kwakupitia mikopo katika Taasisi za fedha.
 Ukiwa nauweo unanunua nyumba katika Shirika la nyumba la Taifa
Mwenye macho hambiwi tazama Jinsi Serikali ya Awamu ya Nne ilivyo jitahidi kutimia ahadi zake wakati wa uchaguzi,Hiyo ni moja ya shughuli  za Serikali hii,bado miundo Mbinu ya Barabara,Reli Viwanja vya ndega pamoja na huduma mbalimbali za Jamii.

No comments:

Post a Comment