Thursday, September 18, 2014

KAMATI YA ULINZI NA USALAMA MKOANI DODOMA IMEWEKA ULINZI KUZUNGUKA MAENEO YANAYO ZUNGUKA MAJENGO YA BUNGE YALIKUWA NA ULINZI MKALI KUFUATIA MAANDAMANO YA UKAWA YALIYOTARAJIWA KUFANYIKA LEO MJINI HAPA.

 Barabara zinazo pita jirani na majengo ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo zili zungushiwa Utepe wa njano na askari polisi wakiwa na magari yao,askali wenye farasi, wenye mbwa walionekana wakiwa kwenye maeneo hayo.

Hayo yametokea kufuatia maandamano ya UKAWA yaliyotarajiwa kufanyika mjini hapa hapa.
Baadhi ya wananchi walibaki wakishangaa na kusubiri wayaone maandamano hayo ambayo walitarajia kuzunguka mnara wa Bohari na stendi ya mabasi,lakini mpaka saa moja usiku hakuna maandamano yaliyojiokeza hapa Bohari.
Wakati wengene wakijiandaa na maandamano katika mzunguko wa mnara huu,vijana hawa walikuwa wakiendelea na shughuli zao za kujitafutia riziki na familia zao.

No comments:

Post a Comment