Thursday, July 25, 2013

TUNAJIFUNZA STORI YA USTAARABU WA PWANI KWA KUTEMBELEA MAENDOA YA KISTORIA NA KUONA JINSI MABABUZETU WALIVYO FANYISHWA KAZI NA WAGENI WALIYOINGIA PWANI YA AFRIKA MASHARIKI KATIKA MJI WA BAGAMOYO

 Ukristo ulivyo ingia Bagamoyo,wamisionari walijenga jengo hilo kuwa la mapadre.
 Lakini pia walivyoingia Waarabu Bagamoyo wakafika na Ustaarabu wao wa kiislamu ambapo walikuwa wafanya biashara kwenda bara kutafuta pembe za ndovu na watumwa.jengo hilo ndilo lilikuwa la matajiri  wa kiarabu wafanya biashara jengo lililojengwa matumbawe.
 Hilo ni handaki ambalo lilijengwa na wamisionari kwa ajili ya kujihami na maadui ,hilo handaki limeenda kadi kanisani,nyumba za mapadre chini kwa chini.ambapo sasa halitumiki limewekewa mifuniko kwa ajili ya ukumbusho na watalli kwenda kuona mji Mkongwe wa kihistoria Bagamoyo.


No comments:

Post a Comment