Friday, July 19, 2013

MABOMBA YA GESI ASILIA YAPAKULIWA KATIKA BANDARI YA MTWARA WAZIRI MKUU WA MIZENGO PINDA ASHUHUDIA

Waziri Mkuu Mizengo Pinda na wananchi wa Mkoa wa Mtwara wakiongozwa na Mkuu wa Mkoa huo Bw.Simba Kalia walishuhudia shehena ya mabomba ya kupitishia Gesi yakipakulia kutoka katika meli.
Baada ya ushuhuda huo Waziri Mkuu amarejea Mkoani Ruvuma kuendelea na Ziara yake ambapo leo amefanya ziara Muhukuru na kwenye daraja la Umoja wa Tanzania na Msumbiji.

No comments:

Post a Comment