Friday, July 12, 2013

nimerudi tena wasomaji wa Blog ya TUJIFUNZE KUSINI baada ya kuadimika kwa muda kidogo

 Hapa nikitoka nje ya Ofisi ya TUJIFUNZE na wageni wangu waliyoitembelea ofisi hii leo ni wahasibu wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga,Mie ni mwenye suti.
Mwenye suti nyeusi ni Mweka hazina wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga akiwa na watendaji wake wawili tuikbadilishana mawazo.

No comments:

Post a Comment