Friday, July 19, 2013

VIONGOZI WA WATENDAJI WA TUJIFUNZE KUSINI JANA WALIUNGANA NA WANANCHI WA AFRIKA KUSINI KUMPONGEZA NA KUMTAKIA AFYA NJEAMA MWANAHARAKATI RAIS WA ZAMANI MZEE NELSON MANDELA MADIBA KWA KUTIMIZA MIAKA 95 YA KUZALIWA

VIONGOZI na watendaji wa TUJIFUNZE KUSINI jana walijumuika na wananchi wa Afrika Kusini katika maazimisho ya miaka 95 yakuzaliwa  mwanaharakati wa nchi hiyo aliyopinga ubaguzi wa rangi hadi kwenda jela kwa ajili ya kuwatetea wananchi wa nchi hiyo,na hatimaye akawa Rais ,na sasa Rais mstaafu mzee Nelson Mandela.
Tunamuombea Mungu ampunguzie makali ya kuugua kwake ,na apate afya njema kwani bado mchango wake  unahitajika.
Ambapo Mkewe alisema hali ya mzee huyo kwa sasa inatia matumaini,anaendelea vizuri,kwa hiyo Mungu ataendelea kumpa nguvu na kuwa na afya njema.Tunazidi kumuombea kwa Mungu afya yake irejee kama awali.

No comments:

Post a Comment