Thursday, August 22, 2013

ZIMBABWE, RAIS ROBERT MUGABE AAPISHWA KWA AWAMU YA 7 SASA , KULIONGOZA TAIFA HILO .

RAIS Robert Mugabe wa Zimbabwe aapishwa kuwa Rais wa Nchi hiyo kwa awamu ya 7,mbele ya halaiki ya wananchi wa nchi hiyo pamoja na Baadhi ya Viongozi kutoka mataifa ya Afrika.
Sherehe hizo zimefanyika Mjini Harare ambao watu 60 elfu walishuhudia shughuli hizo,ambazo zimewafahya washiriki wa vyama vya upinzani wakikosa raha kwa madai uchaguzi haukuwa wa haki.Lakini mataifa yamekubaliana na matokeo hayo na kuapishwa kwa Mugabe ni kwa halali.Na ndiyo maana ameahidi kuwa atakuwa mwamifu katika kulitumikia Taifa la Zimbabwe.
Lakini Wapinzani wanguwa wanatambua kuwa anayemchagua kiongozi ni mwananchi mwenyewe, mtu akipata kura nyingi inamaana wapiga kura ndiyo wamempenda aliye mpenda.Na kama hukuchaguliwa basi wananchi hawana imani na wewe,kwa nini useme haiwezekani kura zimeibiwa, je una uhakika gani kama kura zimeibiwa? kwani wakati wakupiga kura ulikuwepo kwa kila mpiga kura ukaona wamekuchagua ambapo ilikuwa ni siri yao.na wakati wa kuhesabu zikiwa zimepungua hapo utakuwa na haki ya madai hayo.


No comments:

Post a Comment