Sunday, August 25, 2013

BWANA DICKSON D.NACHENGA AAMUA KUACHANA NA UKAPERA BAADA YA KUMPATA WITNESS JUMA TAFRIJA ILIKUWA HIVYOOOOOOOOOO

 Bwana Dickson D.Nachenga na Mkewe Bibi Witness Juma wakiwa wakitambulisha wazazi wa Mke
 Utambulisho uliendelea
Maharusi wakisalimia wahisani waliosababisha tafrija ifane
 Familia upande wa bwana harusi
 Wahisani wakienda kuwatakia heri
 kwa  upole Bibi Witness akimwegemea mmewe

 Ni ishara ya busu hili lakini mie sikulionna


 Maharusi kwenye chakula



 Wazazi kwenye chakula
Baadhi ya wahisani wakishudia tafrija hiyo ya kufana

No comments:

Post a Comment