Sunday, December 11, 2011

TUTOKAKO, TULIKO NA TWENDAKO MIAKA 50 YA UHURU MKOANI RUVUMA SHEREHE ZILIFANYIKA KIBLANG'OMA LIZABONI SONGEA LAKINI ZILIFUATIA KWA MAANDAMANO

 Maandamano ya watumishi wa sekta mbalimbali katika Manispaa ya Songea ,kupinga ukatili wa unyanyasaji wa kijinsia.
 Maandamano ya watumishi na wanafunzi wa shule za sekondari zilizoko katika Manispaa ya Songea Mkoa wa Ruvuma kupinga ukatili.
Tunapo sherehekea miaka 50 wa Uhuru wa Tanzania Bara, nchi yetu bado unyanyasaji wa kijinsia bado upo na unazidi kuwepo,kwa hiyo maandamano hayo yalikuwa ni kupinga ukatili wa unyanyasaji wa kijinsia,yaliyofanyika katika Manispaa ya Songea.

No comments:

Post a Comment