Monday, December 19, 2011

BREAKING NEWS Z Z Z ! ! ! MGOMO WA WAFANYAKAZI WA POSTA NCHINI KENYA UMEINGIA SIKU YA TATU LEO

Mgomo huo unafuatia madai ya  nyongea ya asilimia 30 ya mishahara yao kutoka asilimia 5 walizoongezwa.Wafanya kazi hao wanadai hawawezi kufanya kazi hadi madai yao yatekelezwe,ambapo Serikali imetishia kuwasimamisha kazi viongozi wao iwapo hawatabadilisha msimamo wao.

No comments:

Post a Comment