Thursday, December 15, 2011

MFUMO WA MAJITAKA KATIKA SOKO NA MITAA YA MANISPAA YA SONGEA BADO KITENDAWILI BWANA HUYO ANAJITAHIDI KURUKA VINYESI

Hayo ni maji machafu kutoka vyooni yalitanda katika mtaa wa Verlis katikati ya mji wa Songea,harufu kali ilwafanya wafanya biashara ya maduka kuondoka kwa muda hadi fudi mzibua vyoo alipo fika katika moja ya mfuniko uliyokuwa ukitiririsha maji hayo.

Picha ya juu kamera yetu ilipata huyo bwana akijitahidi kuruka maji hayo machafu au kinyesi kilicho pita katika ya maduka na wauza nguo nje,mafundi vyerehani,siku ya kusherekea miaka 50 ya Uhuru Kiblang'oma wao wakipata manukato ya maji machafu hayo kutoka kwenye vyoo vya watu.

No comments:

Post a Comment