Sunday, December 11, 2011

MIAKA 50 YA UHURU WANANCHI WA MIKOA YA KUSINI WANAISHUKURU SANA SERIKALI ZA AWAMU ZOTE KWA MABADILIKO MAKUBWA YA MIUNDOMBINU

Miaka 50 ya Uhuru kusini barabara kwa kiwango cha lami,hii nia barabara kutoka Nanyumbu Mtwara kwenda Masasi Mtwara.
 Hiki ni kipande cha barabara ya lami katika wilaya ya Namtumbo kuelekea Tunduru Mkoani Ruvuma.

 Barabara kutoka Lindi kuelekea Dar es salaam,kabla ya kufika Nangulukuku wilayani Kilwa
Mnazi mmoja pacha   ya Mtwara na Lindi ,hapo ni kuelekea Lindi,Dar es salaam,zamani baada ya uhuru barabara kama hizo ilikuwa ndoto,watu walisafiri kwa meli au ndege kwa wenye pesa,miaka 50 ya uhuru,saa 12 Tunduru na saa 9 jioni upo Dar es salaam.,
lazima tukiri kwa mambo mazuri,yaliyotendeka ndani ya miaka hii,kwa vyovyote mabaya yapo,tuyarekebishe sote kwa pamoja,"kuna mambo mazuri,myachukue,na yale mabaya myaache' alisema Mwalimu Nyerere.

No comments:

Post a Comment