Sunday, December 18, 2011

TUKIWA KATIKA MITAA YA HALMASHAURI YA MJI WA LINDI JIONI BAADA YA KUTOKA UFUKWENI BARABARA ZAKE ZILIVYO KATIKA MIAKA 50 YA UHURU

 Barabara itokayo Bandarini katika mji wa Lindi
 nikiwa katika barabara ya miji wa Lindi ingawa muda huo magari hayakuwa mengi kama tulivyo weza kuyaona magari mida ya jioni kwenye fukwe kupunga upepo
Huyo Mhariri msaidizi wa Tujifunze Bwana Juma Nyumayo akielekea Bandarini katika mji wa Lindi mida ya jioni ,ila mji una barabara nzuri magari si mengi sana mida ya jioni kwenye Bandari yao iliyokufa.

No comments:

Post a Comment