Sunday, October 7, 2012

TUJIFUNZE KUSINI INAWATAKIA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE NCHINI MAFANIKIO MEMA KATIKA MITIHANI YAO YA KUMALIZA ELIMU YA SEKONDARI KIDATO CHA NNE TAIFA

Watulie katika kufanya mitihani hiyo,wala wasibabaishwe na watu wenye uchu wa fedha kuwa wanauza mitihani , huo ni uongo na utapeli,toka lini mitihani iliuzwa kama karanga mitaani.
Kama mmoja wenu atasoma katika mtandao huu ,basi uwe balozi wa wenzako kuwa dawa ya kufaulu mtihani ni kujiandaa vyema na sio kununua au kuibia mtihanu.Tunawatakieni mafanikio mema katika kuvuna kile mlicho panda.

No comments:

Post a Comment