Sunday, October 7, 2012

HIZO NDIZO JUHUDI ZA SERIKALI ZA KULIWEKA JIJI LA DAR ES SALAAM KATIKA HADHI YA KUITWA JIJI KATIKA KUBORESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA ZAKE

 Hiyo ndiyo kampuni iliyopewa kupanua na kujenga barabara Jijini Dar es Salaam za magari na mabasi yaendayo kasi ,kwa lengo la kupunguza msongamano wa magari/foleni,Pamoja na leo ni Jumapili lakini mpiga picha wa Blog hii amewakuta wafanya kazi wa kampuni hiyo wakiwa kazini saa 1.00 asubuhi Maeneo ya Mbezi.
Hiyo ndiyo jitihada za serikali katika kuboresha miundombinu ya barabara,eneo la Mbezi Jijini Dar es Salaam,wafanyakazi wa Kampuni wa upanuzi wa ujenzi wa barabara Jijini walikuwepo kazini,pamoja yakuwa leo ni Juma pili.

No comments:

Post a Comment