Saturday, October 20, 2012

SEND OFF OF DEODAT THOMAS MAGALI ROYAL VILLEGE DODOMA JANA IMEFANA SANA

 Deodata Thomas Magali na Mpambea wake wa pili kutoka kushoto wakiwa wenye tabasamu katika Send off yake iliyofanyika usiku huu katika ukumbi wa Royal Village katika manispaa ya Dodoma.
 Deodata akimkabidhi Baba mkwe wake keki kwa heshima zot za Kiruguru katika sherehe hizo usiku wa kuamkia leo,

 Mr & Mrs Thomas  Magali wakiwapungua wageni waalikwa katika Send off ya Binti yao Mpendwa Deodata Thomas Magali katika Ukumbi wa Royal Village usiku wa kuamkia leo Katika Manispaa ya Dodoma.
M
 Mr Magali mdogo wa Bwana Thomas Magali ambayw alifanya utambulisho wa Familia ya Bwana na Bibi Magali kwa wageni waalikwa katika ukumbi wa Royal Village katika Manispaa ya Dodoma.
 Mr Thomas Magali Maneja wa Benki ya NMB Tawi la Mazengo katika manispaa ya Dodoma katika send off ya Binti yao mpendwa Deodata Magali Royal Vilaage,
 Mama Magali, mama wa Deodata Magali katika Sherehe ya Send off ya Binti yao mpendwa Deodata Magali Royal Village manispaa ya Dodoma.
Katika sherehe hizo wa wapambe na ndugu wa karibu  walishuhudia Deodata na Mpambe wake wakilishana  keki ikiwa kama ishara ya upendo na amani kati yao.wakwanza kulia ni Deodata.
Mama Sikapundwa mwenye nyeusi akienda kuwapongeza Deodata Magali na Mpambe wake wakatikwa kumpongeza.

No comments:

Post a Comment