Saturday, October 18, 2014

"MTOTO HATUMWI DUKANI LEO, NA AKITUMWA ATASAHAU CHENJI" HAYO NI YA LEO BADO MASAA MACHACHE TU WAPENZI,WASHABIKI WA YANGA NA SIMBA WATASHUHUDIA MTANANGE BAINA YA WATANI HAO WA JADI UWANJA WA TAIFA KUPITIA TBC 1

Wapenzi hao wameonekana wakijigamba kwa aina tofauti tofauti ya kila mmoja kumshinda mwenzake,lakini wanasema msema kweli ni dakika 90. Na kiingilio ni poa kabisa kisingizio kisiwepo tena kwa mashabiki wa soka.

No comments:

Post a Comment