Monday, November 3, 2014

WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE INCHINI LEO WAMEANZA MITIHANI YA KUMALIZA ELIMU YA SEKONDARI

Tujifunze kusini Blog inawatakia wanafunzi wa kidato cha nne mitihani mema,Aidha inawaombea Mungu awaepushe na vishawishi vya udanganyifu wa mitihani katika kipindi chote cha mitihani yao.

No comments:

Post a Comment