Tuesday, October 14, 2014

JAMII YA BLOG YA TJIFUNZE KUSINI NA FAMILIA YA SIKAPUNDWA WANAUNGANA NA WANANCHI WA TABORA KWENYE SHEREHE YA KUZIMA MWENGE NA KUTIMIZA MIAKA 15 YA KIFO CHA BABA WA TAIFA MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE



Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere leo ni mika 15 tangu atagulie mbele za haki.Mwaka ambao Tanzania inaanza safari ya Kihistoria ya kutuga Katiba itakayo wapeleka watanzania kwa miaka 50 ijayo.
Aidha siku yaleo ni siku Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Jakaya Mrisho Kikwete alipozimwa Mwenge baada ya kukamilisha mbio zake nchi nzima na kuzindua na kuwekea mawe ya msigi miradi kadhaa ya miradi kadhaa ya maendeleo.

No comments:

Post a Comment