Saturday, October 18, 2014

UZINDUZI WA CHANJO YA SURUA, MINYOO,NGIRI MAJI KITAIFA MKOANI DODOMA KUFANYIKA NYERERE SQUARE ( VIWANJA VYA MWALIMU NYERER ) KWA MAANDAMANO YALIYO ANZIA BOHARI MKOA

 Brass Bend ya Jishi la Wananchi wa Tanzania
 Brass Bend hiyo ndiyo iliyoongoza maandamano kuelekea Nyerere Square yakianzia Bohari Mkoa Dodoma jirani na stendi kuu ya mabasi.
 Baadhi ya wanafunzi wauguzi kutoka Mirembe Mkoani Dodoma
 Wauguzi wanafunzi
 Wanafunzi wa shule za msingi za Manispaa ya Dodoma
Brass Bendi ya wanafunzi wa shule za msingi katika Manispaa ya Dodoma
 Maandamano
 Wanafunzi wa shule za English Medium katika Manispaa ya Dodoma
 Baadhi ya wanafunzi wa shule za sekondari katika Manispaa ya Dodoma

Pamoja na hao pia ni wanafunzi wa sekondari,Cha ajabu walengwa ambao ni Wanawake na Wanaume ambao ndiyo wanakuswa na  Uzinduzi wa Chanjo hiyo Kitaifa kwenye maandamano hawapo.

Aidha imekuwa ni mazoea katika baadhi ya mikoa kujiunga kwenye maandamano yanayo walenga wananchi moja kwa moja.Sana sana ni wanafunzi na wahusika wanaokuwa na wanafunzi hao.

Swali kama wanafunzi ,wanavyuo hawapo hayo maandamano hayatakuwepo?,kwanini maadamano ambayo hayawaletei tija wa faida wananchi wanakuwa wengi.Uzuri wake maandamano ya aina huyo wanafunzi hawa husishwi.

Hivyo kwakuwa hatuna utamaduni wa kuwa kwenye maadamano kama hayo au ni vipi ,bali tumekuwa wepesi wakwenda kwenye sehemu ya tukio kusubiri maandamano yaingie ambayo ni ya wanafunzi wa shule za msingi,sekondari na vyuo.na kwamba mgeni Rasmi anayapokea maandamano hayo ya wanafunzi, na katika hutuba yake hagusii kuhushu wananchi kujihusisha na maandamano yenye manufafaa kwa jamii zao,kuliko kuwaachia wanafunzi peke yao.

No comments:

Post a Comment