Wednesday, December 24, 2014

BLOG YA TUJIFUNZE KUSINI INAWATAKIWA WAUMINI WA KIKRISTO KOTE DUNIANI MKESHA WA CHRISTMASS NA HERI YA MWAKA MPYA WA 2015.PIA KUSHEREHEKEA KWA AMANI NA UTULIVU.NI MATUMAINI YANGU VITENDO VYA UVUNJIFU WA AMANI HAUTA KUWEPO.

Nina mshukuru Mungu kwa kunilinda pamoja na Familia yangu ya Sikapundwa kuwa na afya njema.Bloggers wote heri ya Christmass na Mwaka Mpya wa 2015.
Tusheherekee kwa amani na Utulivu wanaokwenda kwenye Ibada ya Usiku wasiondoke wote nyumbani maana wengie hutumia mwanya wa sikukuu hizi kufanya uhalifu.

No comments:

Post a Comment