Sunday, July 12, 2015

HATIMAYE DKT JOHN POMBE MAGUFULI ASHINDA KWA KURA 2,104 NA KUPONGEZWA NA DKT ASHA ROSE MIGIRO BAADA YA KISHINDO CHA USHINDI

Dkt John Pombe Magufuli  ndiye aliyepata nafasi kupitia Tiketi Chama chake kuwa mgombea Urais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania,kwa kupigiwa kura na wajumbe wa Mkutano mkuu wa CCM,kwa kupata kura 2,104,ambapo Balozi Amina Said Ally kwa kura 253 na Dkt Asha Rose Migiro kwa kura59.

Wote wapo tayari kambi zao kuwa bega kwa bega na Dkt John Pombe Magufuli kuhakikisha ushindi unapatikana kwa Dkt Magufuli wa kupeperusha Bendera ya CCM.Na mwenye kiti wa Chama hicho.

No comments:

Post a Comment