Sunday, July 12, 2015

NITUMENI NITAWATUMIKIA,KWA NGUVU ZOTE,MOYO WOTE - DKT JOHN POMBE MAGUFULI

 Hotuba yake Magufuli baada ya kutangazwa
Wajumbe wa Mkutano huo


Dkt John Pombe Magufuli alisema hayo baada ya kutangazwa kuwa mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano  wa Tanzania.
Aidha alisema kuwa yuko tayari kunadi Ilani ya CCM, na kwamba wenzake 38 atakuwa nao pamoja katika kuinadi Ilani ya Chama hadi ushindi unapatikana. Kwani Chama kwanza,CCM kwanza na Tanzania kwanza,ni lazima kuwa kitu kimoja.
Baadaye kamtangaza Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea mwenza,na kuweka Hitoria katika Ramani ya Dunia kuwa na Mwanamke  wa kwanza Tanzania kuwa mgombea mwenza mwanamke.
Hatimaye saa 10 jioni leo Dkt Magufuli atanadiwa katika uwanja wa Jamhuri Mjini Dodoma na Juma nne Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment