Monday, July 7, 2014

SABABA MJINI DODOMA WANANCHI WASHEHEREKEA KWA SHUGHULI ZAO MBALIMBALI

Wakati siku za nyuma siku kama ya leo ya sikukuu ya sabasaba ilikuwa ikionekana kuwa kweli sikukuu ya sabasaba.Lakini kwa kipindi  hiki sikukuu hiyo inafanikwa sana Jijini Dar es Salaam katika viwanja vya maonyesho ya Biashara kuanzia tarehe moja hadi tarehe saba.

 kwenye mabanda mbalimbali ya maonesho  ya biashara, wananchi wakitembelea mabanda  na kununua bidhaa mbalimbali, Ambapo mikoani maonesho kama hayo hayapo,na hakuna ndoto ya kufanyika maonesho hayo katika mikoa yote ili wananchi wa mikoa hiyo nao wanufauke na bidhaa hizo.

No comments:

Post a Comment