Monday, July 7, 2014

MAAJABU YA TANZANIA NI VIVUTIO KWA WATALII

 Mbuga za wanyama nchini ni muhimu kwa kuingiza Taifa mapato yake ,ili kinacho sababisha vivutio hivyo visichangie kwa kiwango kikubwa ni ujangili unaofanyika katika hifadhi hizo za Taifa.
Kuna watu wanaotaka utajiri wa harakaharaka wanaoingia katika mbuga hizo ka kuanza kuwa ua tembo kwa lengo la kupata pembe za wanyama hao kitendo ambacho kinasababisha wanyama hao kupungua kwa kiwango kikubwa.
Lakini je Serikali na wananchi wanaoishi katika maeneo ya mbuga hizo wanasaidiaje kupunguza uhalifu huo ili idadi ya tembo isizidi kutokomea.Ni vizuri kila mmoja awe askari wa kuzuia ujangili nchini.

No comments:

Post a Comment