Saturday, February 28, 2015

WAANDIHI WA HABARI WATAKIWA KUZINGATIA USAHII,UFASAHA NA MAADILI KATIKA UTOAJI WA TAARIFA ZAO

 Mkurugenzi Mtendaji wa TAMWA Mhe. Valerie Msoka akiongea na wahitimbu wa Chuo cha Uandishi wa habari ( Morogoro School of Journalism MSJ ) Mgeni Rasmi katika mahafali wahitimu 144.
 Picha ya pamoja ya wanachuo wahitimu Cheti na Mgeni Rasmi
 Picha ya pamoja na wahitimu wa Stashahada ya uandisi wa Habari na Mgeni Rasmi
 Womaji wa Risala ya wahitimu wa Stashada ya Uandishi wa Habari kwa Mgeni Rami ayupo katika Picha
 Mheshimiwa  Valerie Msoka Mkuruenzi Mtendaji wa TAMWA
Mhitimu Michael C.  Sikapundwa akipokea cheti cha Stashahada ya Uandishi wa Habari
Mstaafu wa MSJ Bwana S.Dogoli mwenye kaunda suti nyeusi wakibadilisa mawazo
M
 picha  ya pamoja na wahitimu viongozi na mgeni Rasmii
 Mwakilishi wa Abood Media Mtangazaji Mkongwe Bw.Samadu Hassan akipokea cheti kama zawadi ya mchango wao katika Chuo hicho.
Picha ya pamoja Mgeni Rasmi Mkuu wa Chuo kulia, Mkuruenzi kushoto,na Bw. Said Dogoli kushoto kwa mkurugenzi.

WAANDIHI WA HABARI WATAKIWA KUZINGATIA USAHII,UFASAHA NA MAADILI KATIKA KURIPOTI  TAARIFA ZAO


Mkurugenza Mtendaji wa TAMWA Mhe. Valerie Msoka kwenye mahafali ya wahitmu 144 wakiwemo Walmu wa Awali,Cheti  cha Uandishi wa Habari na Stashahada ya Uandishi wa Habari katika viwanja vya Chuo cha Uandishi wa Habari Morogoro School of Journalism MSJ  Nanenane katika Manispaa ya Morogoro.
Mhe. Msoka aliwaambia wahitimu hao kuwa kazi yao ni ngumu na inachangamoto nyingi katika upatikanaji wa habari,hivyo wanatakiwa kuzingatia ufasha na usahihi katika utoaji wa habari,na kwamba kwaende wakaandike masuala ya Unyanyasaji wa Kijinsia na mambo yote  ya ukatili unaofanywa kwa watoto wa kike na wanawake.
Aidha alisema waandike habari bila upendeleo na kuwa na usiri wa habari walizo pewa na watoa habari hizo wala waiwe na upendeleo katika undikaji wa habari kwa uaminifu na haki pamoja na kuusoma zaidi masuuala ya kisiasa,Kijamii na Kiuchumi.
Hatima yake aliawa vyeti kwa wahitimu  144 wakiwemo  Walimu wa Awali,Cheti  Cha Uandishi wa Habari na Stashahada ya Uandishi wa Habari.
Awali Mkuu wa chuo hicho Bwana Augustine S. Nongwe alisema kuwa chuo chake kina mafanikio makubwa kufuatia wahitimu wa chuo hicho wamepata ajira katika vyombo mbalimbali vya Habari nchini na wengine elimu ya juu.
Ambapo katika mafanikio hapakosi changamoto alitaja changamoto hizo  ni pamoja na upunufu wa vfaa vya kufundishia na kujifunzia,Upungufu wa wakufunzi wenye sifa,uhaba wa fedha za kendeshea chuo kufuatia ulipwaji hafifu wa ada kutika kwa wanafunzi.
Vilevile  amewshari wenye vyombo vya habari kuajiri wahitimu wanaotoka katika chuo hicho,kwani vyombo vingi vinaajiri bia kuzingatia ubora wa elimu ya uandishi wa habari.
Isitoshe ameimba Bodi ya mikopoo ya elimu ya juu,kuona uwezekano wa kuwapatia mikopo wanachuo wanaojiunga na vyu ivyo nchini ili waweze kufikia ndoto zao.

No comments:

Post a Comment