Friday, June 28, 2013

WACHAPAJI WAKUMBUSHWA WAJIBU WA NA UTARATIBU WA UTENDAJI KAZI KATIKA UTUMISHI WA UMMA


Bwana Stephen Pancras akitoa mada kwa wakuu wa vituo vya kanda juu ya wajibu wa mfanya kazi kiongozi,mfanyakazi na kujua wajibu wao na haki kwa wafanya kazi zilizo fafanuliwa katika sheria kadhaa.
Alizitaja sheria hizo kuwa ni pamoja na Sheria ya kazi na mahusiano,Sheria ya majadiliano,Sheria za Taasisi  za kazi,Sheria za Utumishi wa Umma,Kanuni za kudumu katika Utumishi wa Umma na Miongozo mingine.





 Washirki wakiwa katika mada ya Utumishi wa Umma
 Sekretarieti ikifanya samari ya mada hiyo ambao pia ni wakuu wa vituo vya Kanda,Kulia ni Bi.Josephine Sanga Mkuu wa kituoa Moshi,Wakatikati mwenye Suti nyeusi Bw.Juma Nyumayo Msaidizi wa Mkuu wa kituo Kanda ya Kusini Songea na watatu ni Bw.Mahimbo Mkuu wa kituo Tabora.
 Mkuu wa Kituo Press A na Mkuu wa vytuo 7 vya kanda vya elimu nchini Bw.Max Masesa akimkaribisha mtoa mada hayupo katika picha katika Warsha hiyo katika ukumbi wa ADEM Bagamoyo hivi karibuni
 Washiriki
 Washiriki
Bwana Stephen Pancras akitoa mada kwa wakuu wa vituo vya kanda juu ya wajibu wa mfanya kazi kiongozi,mfanyakazi na kujua wajibu wao na haki kwa wafanya kazi zilizo fafanuliwa katika sheria kadhaa.
Alizitaja sheria hizo kuwa ni pamoja na Sheria ya kazi na mahusiano,Sheria ya majadiliano,Sheria za Taasisi  za kazi,Sheria za Utumishi wa Umma,Kanuni za kudumu katika Utumishi wa Umma na Miongozo mingine.

No comments:

Post a Comment