Friday, December 27, 2013

WATOTO WA SHULE YA AWALI CHARITY UWANJA WA SABASABA SONGEA WAMALIZA ELIMU YA AWALI

Mgeni Rasmi Bwana Bakule bakule maarufu kwa kuwa na timu yake ya miguu Matarawe Songea aliahidi kutoa mchango wake wa shilingi laki mbili.
Aidha alisema kuwa elimu ya Awali ni muhimu sana kwa kuinua taaluma hasa shule za English Medium,na kwamba alisema wakaze uzi wa kuendeleza watoto hao hadi darasa la saba
 Baadhi ya mwanafunzi wa Awali akimkabidhi shairi Mgeni Rasmi siku hiyo ya Awali
 Wanafunzi hao wakisoma shairi bila kubabaika utadhani darasa la saba kumbe ni watoto wa Awali

Baadhi ya wazazi wa watoto waliyo maliza elimu ya Awali siku hiyo

No comments:

Post a Comment