Wednesday, June 17, 2015
Sunday, June 14, 2015
SEND OFF NA HARUSI HAZIWEZI KUWA NA MANJONJO BILA YA VIJANA WA SHOO, BASI HAO VIJANA MAARUFU KWA USHEREHESHAJI WA SHUGHULI HIZO HAPA DODOMA
Hawa vijana machachari sana katika Shoo kwenye Send Off na harusi mbalimbali , wanafanya maharusi na wageni waalikwa kuona sherehe inachukua muda mfupi
Ndiyo hawa katika ukumbi wa Kilimani katika Manispaa ya Dodoma
Maharusi watarajiwa na wasimamizi wao,kushoto ni wasimamizi au wapambe na kulia ni Bwana na Bibi watarajiwa.
Hapo napo ni miondoko ya ngoma ya Kizigua ndani ya usiku wa Send off Kilimani
Mama akisema jambo upande wa wazazi wa Kiumeni
MANISPAA YA DODOMA YAWEKA MJI WAKE KATIKA HALI YA USAFI KWA KUWEKA MAPIPA YA TAKA KILA MTAA, ILA KATIKA SOKO LA SABASABA KUNA RUNDO LA TAKA ZA MAJANI YA MIGOMBA
Mapipa kama haya yapo mitaa yote katika Manispaa ya Dodoma,na kila yanapo jaa kuna magari ya kuzoa taka , yanatoa taka zile na kuacha mitaa safi.
Tofauti ipo katika masoko ya matunda na mbogamboga,Blog hii ilifika katika moja ya soko la Sabasaba la mboga na matunda na kushuhudia mlima wa taka taka na pembenei kuna lori lina pakua mabaki ya taka na kuzitelekeza pale ..Huwenda Bana afya akipitia ataamuru lori la kusomba taka lifike, ili kunusuru wafanya biashara na wateja wao kunusa harufu mbaya kutoka kwenye taka hizo.
Saturday, June 13, 2015
AMANI,UVUMILIVU,UPENDO,FURAHA NI MANENO YA MZEE SEMKURUTO KWA ATHUMANI MOHAMEDI NA SUMAIA ,ALIPO WAPA MANENO YA FARAJA KATIKA MAISHA YAO YA NDOA ,KATIKA UKUMBI WA CHAMA CHA WALIMU MANISPAA YA DODOMA JANA
Bwana na Bibi Athuman Mohamed wakifungua Muziki katika Ukumbi wa Chama cha walimu katika harusi yao jana Manispaa ya Dodoma
Wazazi wa Bibi Harusi Sumaia Baba na Mama mzazi
Picha ya pamoja na maharusi na kamati iliyofanikisha sherehe hiyo
Mama mzazi wa Bwana Harusi Athumani Mohamedi
Bw. Mnyinvua kushoto na Mzee Semkuruto mwenye tai,upande wa wazazi wa Bw.Harusi
Bwana Harusi na Bibi harusi wakila chakula,ambapo Bibi harusi anamlisha kipande cha mguu wa kuku Mmewe mpendwa

Picha ya pamoja Maharusi ,Mama mzazi na Mwenyekiti wa Kamati kushoto
Wazazi wa Bibi Harusi Sumaia Baba na Mama mzazi
Picha ya pamoja na maharusi na kamati iliyofanikisha sherehe hiyo
Mama mzazi wa Bwana Harusi Athumani Mohamedi
Bw. Mnyinvua kushoto na Mzee Semkuruto mwenye tai,upande wa wazazi wa Bw.Harusi
Bwana Harusi na Bibi harusi wakila chakula,ambapo Bibi harusi anamlisha kipande cha mguu wa kuku Mmewe mpendwa

Picha ya pamoja Maharusi ,Mama mzazi na Mwenyekiti wa Kamati kushoto
Thursday, June 4, 2015
JIHADHARINI NA WATU WANAOTAKA UONGOZI KWA USHABIKI, NA WANANCHI WASIWE WASHABIKI,WATAFUTE KIONGOZI KWA SIFA ZAO NA WALA SI WANAOJIVISHA SIFA HIZO WENYEWE ,ALISEMA KATIBU WA CCM NDUG.ABDULRAHMAHMAN KINANA
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimia wananchi katika viwanja vya Railwa stendi kuu ya mabasi Dodoma akiwa njani kuelekea Bukoba
Katibu wa CCM wilaya ya Dodoma akimkaribisha Katibu wa CCM Mkoa wa Dodoma
Katibu wa CCM Ndugu Mkumba akimkaribisha Katibu wa NEC CCM Itikadi na Uenezi ,Nape Nnauye amkaribishe Katibu wa CCM
Katibu wa NEC CCM Itikadi na Uenezi ,Nape Nnauye,akimkaribisha Katibu Mkuu wa CCM
Baadhi ya wananchi wakimsikiliza Katibu Mkuu huyo.
Katibu Mkuu huyo aliyasema hayo katika viwanja vya Railwa na Stndi ya daladala kwa wafanya biashara wa mabasi na wauzaji wa mboga katika Manispaa ya Dodoma akiwa njani kuelekea Bukoba kwa basi.
Aliesma Watu wasitafute uongozi kwa ushabiki bali kwa sifa zao, Sifa ambazo watanzania wanazitaka, sio wale wanaojivisha sifa hizo wanyewe , wananchi wajihadhari nao. Alisema sasa Makada wa ccm wanakuja Dodoma kuchukua Fomu za kutaka Uongozi nakwamba wanyeuwezo wa kumchagua kiongozi ni wanaCCM na wanchiw wenyewe na ndiyo wenye kusikiliza hoja zao,uwezo wao.kisha watafahamu ngozi anayefaa na asiyefaa
Aidha aliseama Wananchi wanauwezo wa kuwafahamu viongozi waongo,
watapeli,wazuri,waungwana na wanye uchungu na watu masiki,Kiongozi anayetakiwa ni yule atakaye weza kujibu hoja za sasa.
Hivyo amewasihi viongozi wasikilize wananchi wanasema nini,sio kukaa ndani wakisikilizana waenyewe
Katibu wa CCM wilaya ya Dodoma akimkaribisha Katibu wa CCM Mkoa wa Dodoma
Katibu wa CCM Ndugu Mkumba akimkaribisha Katibu wa NEC CCM Itikadi na Uenezi ,Nape Nnauye amkaribishe Katibu wa CCM
Katibu wa NEC CCM Itikadi na Uenezi ,Nape Nnauye,akimkaribisha Katibu Mkuu wa CCM
Baadhi ya wananchi wakimsikiliza Katibu Mkuu huyo.
Katibu Mkuu huyo aliyasema hayo katika viwanja vya Railwa na Stndi ya daladala kwa wafanya biashara wa mabasi na wauzaji wa mboga katika Manispaa ya Dodoma akiwa njani kuelekea Bukoba kwa basi.
Aliesma Watu wasitafute uongozi kwa ushabiki bali kwa sifa zao, Sifa ambazo watanzania wanazitaka, sio wale wanaojivisha sifa hizo wanyewe , wananchi wajihadhari nao. Alisema sasa Makada wa ccm wanakuja Dodoma kuchukua Fomu za kutaka Uongozi nakwamba wanyeuwezo wa kumchagua kiongozi ni wanaCCM na wanchiw wenyewe na ndiyo wenye kusikiliza hoja zao,uwezo wao.kisha watafahamu ngozi anayefaa na asiyefaa
Aidha aliseama Wananchi wanauwezo wa kuwafahamu viongozi waongo,
watapeli,wazuri,waungwana na wanye uchungu na watu masiki,Kiongozi anayetakiwa ni yule atakaye weza kujibu hoja za sasa.
Hivyo amewasihi viongozi wasikilize wananchi wanasema nini,sio kukaa ndani wakisikilizana waenyewe
Subscribe to:
Posts (Atom)































