Saturday, February 28, 2015
WAANDIHI WA HABARI WATAKIWA KUZINGATIA USAHII,UFASAHA NA MAADILI KATIKA UTOAJI WA TAARIFA ZAO
Mkurugenzi Mtendaji wa TAMWA Mhe. Valerie Msoka akiongea na wahitimbu wa Chuo cha Uandishi wa habari ( Morogoro School of Journalism MSJ ) Mgeni Rasmi katika mahafali wahitimu 144.
Picha ya pamoja ya wanachuo wahitimu Cheti na Mgeni Rasmi
Picha ya pamoja na wahitimu wa Stashahada ya uandisi wa Habari na Mgeni Rasmi
Womaji wa Risala ya wahitimu wa Stashada ya Uandishi wa Habari kwa Mgeni Rami ayupo katika Picha
Mheshimiwa Valerie Msoka Mkuruenzi Mtendaji wa TAMWA
Mhitimu Michael C. Sikapundwa akipokea cheti cha Stashahada ya Uandishi wa Habari
Mstaafu wa MSJ Bwana S.Dogoli mwenye kaunda suti nyeusi wakibadilisa mawazo
picha ya pamoja na wahitimu viongozi na mgeni Rasmii
Mwakilishi wa Abood Media Mtangazaji Mkongwe Bw.Samadu Hassan akipokea cheti kama zawadi ya mchango wao katika Chuo hicho.
Picha ya pamoja Mgeni Rasmi Mkuu wa Chuo kulia, Mkuruenzi kushoto,na Bw. Said Dogoli kushoto kwa mkurugenzi.
Picha ya pamoja ya wanachuo wahitimu Cheti na Mgeni Rasmi
Picha ya pamoja na wahitimu wa Stashahada ya uandisi wa Habari na Mgeni Rasmi
Womaji wa Risala ya wahitimu wa Stashada ya Uandishi wa Habari kwa Mgeni Rami ayupo katika Picha
Mheshimiwa Valerie Msoka Mkuruenzi Mtendaji wa TAMWA
Mhitimu Michael C. Sikapundwa akipokea cheti cha Stashahada ya Uandishi wa Habari
Mstaafu wa MSJ Bwana S.Dogoli mwenye kaunda suti nyeusi wakibadilisa mawazo
picha ya pamoja na wahitimu viongozi na mgeni Rasmii
Mwakilishi wa Abood Media Mtangazaji Mkongwe Bw.Samadu Hassan akipokea cheti kama zawadi ya mchango wao katika Chuo hicho.
Picha ya pamoja Mgeni Rasmi Mkuu wa Chuo kulia, Mkuruenzi kushoto,na Bw. Said Dogoli kushoto kwa mkurugenzi.
WAANDIHI WA HABARI WATAKIWA KUZINGATIA USAHII,UFASAHA NA MAADILI KATIKA KURIPOTI TAARIFA ZAO
Mkurugenza Mtendaji wa TAMWA Mhe. Valerie Msoka kwenye
mahafali ya wahitmu 144 wakiwemo Walmu wa Awali,Cheti cha Uandishi wa Habari na Stashahada ya
Uandishi wa Habari katika viwanja vya Chuo cha Uandishi wa Habari Morogoro
School of Journalism MSJ Nanenane katika
Manispaa ya Morogoro.
Mhe. Msoka aliwaambia wahitimu hao kuwa kazi yao ni ngumu na
inachangamoto nyingi katika upatikanaji wa habari,hivyo wanatakiwa kuzingatia
ufasha na usahihi katika utoaji wa habari,na kwamba kwaende wakaandike masuala
ya Unyanyasaji wa Kijinsia na mambo yote ya ukatili unaofanywa kwa watoto wa kike na
wanawake.
Aidha alisema waandike habari bila upendeleo na kuwa na
usiri wa habari walizo pewa na watoa habari hizo wala waiwe na upendeleo katika
undikaji wa habari kwa uaminifu na haki pamoja na kuusoma zaidi masuuala ya
kisiasa,Kijamii na Kiuchumi.
Hatima yake aliawa vyeti kwa wahitimu 144 wakiwemo
Walimu wa Awali,Cheti Cha
Uandishi wa Habari na Stashahada ya Uandishi wa Habari.
Awali Mkuu wa chuo hicho Bwana Augustine S. Nongwe alisema
kuwa chuo chake kina mafanikio makubwa kufuatia wahitimu wa chuo hicho wamepata
ajira katika vyombo mbalimbali vya Habari nchini na wengine elimu ya juu.
Ambapo katika mafanikio hapakosi changamoto alitaja
changamoto hizo ni pamoja na upunufu wa
vfaa vya kufundishia na kujifunzia,Upungufu wa wakufunzi wenye sifa,uhaba wa
fedha za kendeshea chuo kufuatia ulipwaji hafifu wa ada kutika kwa wanafunzi.
Vilevile amewshari
wenye vyombo vya habari kuajiri wahitimu wanaotoka katika chuo hicho,kwani
vyombo vingi vinaajiri bia kuzingatia ubora wa elimu ya uandishi wa habari.
Isitoshe ameimba Bodi ya mikopoo ya elimu ya juu,kuona
uwezekano wa kuwapatia mikopo wanachuo wanaojiunga na vyu ivyo nchini ili
waweze kufikia ndoto zao.
Monday, February 2, 2015
Sunday, February 1, 2015
ITOLEWE ELIMU CHANYA KWA UMMA YA KUIPIGIA KURA KATIBA INAYOPENDEKEZWA - KIKWETE
Mwenyekiti wa Chama Tawala Jakaya Mrisho Kikwete amesema hayo kwenye kilele cha maazimisho ya miaka 38 ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi CCM katika Uwanja wa Majimaji Mjini Songea Leo
Wakati akihutubia maelfu ya wananchi waliyofurika katika Uwanja huo,wageni mbalimbali walihudhuria maazimisho hayo wakiwemo wa kutoka Uganda.
Mwenyekiti huyo amesema kuwa safari ya ushindi wa Chama Cha Mapinduzi ni
uwepo wa wapigakura, iwapo wanachama wote watajiandikisha na kupiga kura ushindi ni
lazima." Alisema Rais Kikwete."
Alisema kuna Kadi zaidi 2,000,000 zote wakizigawa kwa
wanachama wapya , kwa vyovyote idadi itakuwa kubwa ya wapiga kura katika uchaguzi
wa mwezi Oktoba mwaka huu, katika ngazi mbalimbali za Dola na ushindi
utapatikana.
Aidha alisema kuwa jambo lililombele ya atanzania ni upigaji
wa kura ya Katiba iliyopendekezwa na kwamba katiba hiyo itachapishwa na
kusambazwa na kutoa elimu kwa Umma
kuhusu umuhimu wa kujitokeza kupiga kura ya kuikubali ,ingawa inapigwa vita na
baadhi ya vyama kuwa wasiipigie kura katiba hiyo basi Katiba ya sasa itaendelea.
Amesema katiba inayopendekezwa ni Katiba iliyobeba maslahi
makubwa ya Taifa zima,lakini iwapo haikukubaliwa kwa kuwa
Serikali tatu hazikuwekwa katika Katiba
Inayopendekezwa ,hivyo Katiba ya sasa
itaendela mpaka hapo Rais mwingine akiwa tayari kuanzisha mchakato wa Katiba wanayoitaka.
Mwenyekiti huyo amesema kuwa Uchaguzi wa Oktoba 2015 ni wa
kihistoria kwa kuwa Rais atakayechaguliwa ni wa awamu ya tano ( 5 ).Hivyo ni
muhimu kupata mombea bora mwenye sifa
kutoka kwenye chama kilicho komaa,Imara, ambacho kitato mgombea kwa kuzingatia kanuni na maadili ya CCM.
Hatimaye amesema kuwa sh.bilioni 89 za ununuzi wa mazao ya
wakulima zimeshaanza kulipwa kwa wakulima,ambapo lengo ni kuanza kuwalipa
wakulima wadogo ndipo wakala walipwe baadaye inaonyesha malipo ya hayo melipwa
kinyume kama ilivyo elekezwa.Ambapo Bilioni
15 zimesha tolewa kwa ajili ya malipo hayo ,na kwamba malipo hayo
yatamalizika kabla ya mwezi Machi 2015.
Tuesday, January 13, 2015
BREAKING NEWS MIAKA 51 ZANZIBAR ELIMU YA MSINGI BURE , MITIHANI KIDATO CHA NNE NA SITA HAKUNA KUCHANGIA
Katika hotuba yake iliyodumu kwa muda wa saa 1.05 Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dr. All Mohamed Shein, alisema katika miaka 51 ya Mapinduzi Zanzibar kuna maendeleo makubwa yaliyopatikana yakiwemo miundo mbinu mbalimbali.,kilimo na shughuli kadhaa za maendeleo zimepatikana
Aidha alisema kuwa zao la karafuu limezidi kuwa na thamani ambapo kilo moja ya karafuu ni shilingi 16,000. kwa sasa na katika Sekta ya afya jengo la upasuaji kichwa na uti wa mgongo limekamilika ambalo litasaidia sana kwa wagonjwa wa aina hiyo kupata huduma hiyo kwa haraka.Na kwamba wazee watapata huduma ya afya bila kuchangia huduma za matibabu.
Pia amesema katika Sekta ya Elimu imeboreka kwa kuwa na walimu wa kutosha ingawa kuna idadi ndogo inahitajika kutimiza lengo lakini idadi iliyoko inakidhi mahitaji, vyumba vya madarasa na maabara pamoja na vifaa vya kufundishia na kujifunzia vikiwemo vitabu vipo ya kutosha, ambapo ametangaza rasmi katika kumalizia hotuba yake kuwa katika mwaka wa fedha wa 2014/2015 elimu ya msingi itakuwa bure na kwamba michango ya mitihani kwa vidato vya nne na sita haitakuwepo.
Alisema kuwa maelezo mengine kuhusu Sekta hiyo itajulikana baadaye,Sherehe ya miaka 51 ya Mapinduzi Zanzibar ilipambwa kwa halaiki,Vikosi ya Ulinzi na Usalama na Burudani mbalimbali zikiwemo ngoma za asili pamoja na muziki wa kizazi kipya na burudani kibao.
Aidha alisema kuwa zao la karafuu limezidi kuwa na thamani ambapo kilo moja ya karafuu ni shilingi 16,000. kwa sasa na katika Sekta ya afya jengo la upasuaji kichwa na uti wa mgongo limekamilika ambalo litasaidia sana kwa wagonjwa wa aina hiyo kupata huduma hiyo kwa haraka.Na kwamba wazee watapata huduma ya afya bila kuchangia huduma za matibabu.
Pia amesema katika Sekta ya Elimu imeboreka kwa kuwa na walimu wa kutosha ingawa kuna idadi ndogo inahitajika kutimiza lengo lakini idadi iliyoko inakidhi mahitaji, vyumba vya madarasa na maabara pamoja na vifaa vya kufundishia na kujifunzia vikiwemo vitabu vipo ya kutosha, ambapo ametangaza rasmi katika kumalizia hotuba yake kuwa katika mwaka wa fedha wa 2014/2015 elimu ya msingi itakuwa bure na kwamba michango ya mitihani kwa vidato vya nne na sita haitakuwepo.
Alisema kuwa maelezo mengine kuhusu Sekta hiyo itajulikana baadaye,Sherehe ya miaka 51 ya Mapinduzi Zanzibar ilipambwa kwa halaiki,Vikosi ya Ulinzi na Usalama na Burudani mbalimbali zikiwemo ngoma za asili pamoja na muziki wa kizazi kipya na burudani kibao.
Thursday, December 25, 2014
IBADA ZA CHRISTMASS MJINI DODOMA ZIMEFANA SANA NA ZIMETAWALIWA NA MAHUBILI YALIYOSHEHENI AMANI,UPANDO NA MSHIKAMANO PAMOJA NA KUWAKUMBUSHA WAUMINI HAO KUJITOKEZA KWA WINGI WAKATI WA UCHAGUZI WA WABUNGE NA URAIS,BAADA YA IBADA NI KUWA PAMOJA NA FAMILIA NYUMANI KWA VYAKULA NA VINYWAJI NA WATOTO
Wajukuu wa kwanza kushoto ni Karen Michael Sikapundwa na wapili ni Ester Emanuel Sikapundwa wakisheherekea Christmass kwa soda na chakula .Hivyo ndivyo ilivyo kama picha zote zinavyo someka.
Bibi Chris Baby Boy Emanuel akiwa na Mjukuu wake
Karen & Ester
Bwana Emanuel Sikapundwa Na Mtarajiwa wake na watoto wao Ester & Chris Baby Boy na Karen Michael Sikapundwa
Mr& Mrs Neson Mwakyusa na Familia yake siku ya Christmass tarehe 25/12/204 Dodoma
Mr.Mwakyusa Watoto na Wajukuu siku ya Christmass Mjini Dodoma
Bibi Chris Baby Boy Emanuel akiwa na Mjukuu wake
Karen & Ester
Bwana Emanuel Sikapundwa Na Mtarajiwa wake na watoto wao Ester & Chris Baby Boy na Karen Michael Sikapundwa
Mr& Mrs Neson Mwakyusa na Familia yake siku ya Christmass tarehe 25/12/204 Dodoma
Mr.Mwakyusa Watoto na Wajukuu siku ya Christmass Mjini Dodoma
Wednesday, December 24, 2014
BLOG YA TUJIFUNZE KUSINI INAWATAKIWA WAUMINI WA KIKRISTO KOTE DUNIANI MKESHA WA CHRISTMASS NA HERI YA MWAKA MPYA WA 2015.PIA KUSHEREHEKEA KWA AMANI NA UTULIVU.NI MATUMAINI YANGU VITENDO VYA UVUNJIFU WA AMANI HAUTA KUWEPO.
Tusheherekee kwa amani na Utulivu wanaokwenda kwenye Ibada ya Usiku wasiondoke wote nyumbani maana wengie hutumia mwanya wa sikukuu hizi kufanya uhalifu.
Subscribe to:
Posts (Atom)



Pi



M







