Thursday, October 28, 2010

IKIWA ZIMEBAKI SIKU MBILI WATAZANIA WAINGIE KWENYE UCHAGUZI MKUU KIKWETE AJA NA CCM NI CHAMA KUBWA KUBWA LA MBEGU NDICHO KIME ZAA CHADEMA,NCCR,CUF,TLP NA VYAMA VYOTE VYA UPINZANI NI NINI KAMA CCM

 Zikiwa zimebakia siku mbili kuelekea  kwenye uchaguzi mkuu tarehe 31 /10/2010,mgombea Urais kupitia CCM Dkt Jakaya kikwete aseama CCM ni Chama Kubwa tena dume la mbegu iliyozaa,akina CHADEMA,NCCR,TLP CUF navingine ambavyo havijulikani sawasawa.( Source Christian Sikapundwa)
 Dar es salaam awambia tatizo la maji litakuwa ndoto kwao wakazi wa jiji hilo,kama Ilani ya CCM inavyoeleza.
Mikoa ya Lindi waambiwa kuwa ruzuku ya dawa za korosho itaongezwa,na kuimarisha soko la uhakika lenye tija kwa mkulima wa zao hilo.

Saturday, October 23, 2010

THE MAJI MAJI NATURAL HISTORICAL OF NGONI MUSEUM AT SONGEA MUNICIPALITY

HISTORICALLY the Ngoni people were situated as the Bantu speakers had settled in Southern Africa in groups such as Sotho –Tswana the Ngoni Shone and the Tsonga  Ngoni who became dominant and also the Xhosa were the one of the branch of Ngoni.

Due to the historical  background shows that the Ngoni people were escaped the ruling power  of Shaka Zulu,when the Mzilikazi in 1823 decided to run away Northwards to the  Shonaland and modern Zimbabwe. Because Shaka was an autocrat person.

 Shaka became a supreme autocrat controlling everything in Zululand. he made himself as spiritual and judicial leader, had no children for fear they would turn against him when they grew up, therefore he was a killer he slaughtered thousand of people when his mother died.

Politically the Ngoni people were organized into numerous but small hereditary chiefdoms, in average Ngoni chiefdom consisted of four to five villages with the chief called the Nkosi. But among the ngoni were chosen from the royal clan, the heir to the throne son was in principle the eldest son of the senior wife of the chief.

The ngoni chiefdoms were temporal and spiritual leaders, they were responsible for administration of the chiefdoms and for the dispensation of justice, they presided over social and religious ceremonies.

In other hand the chief did not enjoy his power, because the chief’s power were checked by his own privy council, is also his power was also often challenged by his brothers or even his sons therefore the chief had to attract and retain supporters in order to maintain their power.

Economically the ngoni people were subsistence economies which encompassed the cultivation of crops, animal husbandry ,crafts, mining ,metallurgy and barter trade which the structure and composition of these economies varied from community to community and were conditioned by environmental factors. such as distribution of water and rainfall, soil fertility and natural resource  endowment.

Finally we welcomed you to the Majimaji  National  Historical museum of Songea the place  Chiefs were buried  among of them were Nkonsi Gama, Songea Mbano,Chandamali,and also the Memorial of majimaji war of July 1905 to August 1907 which started at Nandele village Kilwa District Lindi Region.



When you face majimaji National museum Songea  Municipality
This is the attractive place of  majimaji National  Museum  of  Songea  Municipality,where you can enjoy  your self  by  observing  traditional historical things of the Ngoni people and the place were chiefs buried,Welcome Songea,Welcome Majimaji Museum. ( Photo by Christian Sikapundwa ) 

Thursday, October 21, 2010

MBIO ZA ELIMU YA SEKONDARI KWA KIDATO CHA KWANZA ZINAISHIA KIDATO CHA NNE UKIKIMBIA VIZURI UTASHINDA NA VIBAYA UTASHINDWA BWANA EMANUEL C.SIKAPUNDWA NI MIONGONI MWA WALIOANZA MBIO HIZO.

 Emanuel C.Sikapundwa  mwenye miwani ni mwanafunzi wa Msamala  Muslim Seminari Songea amehitimu elimu ya sekondari kidato cha nne (IV ) mwaka huu,baada ya kutunukiwa cheti cha kumaliza elimu hiyo,Dada na ndugu zake walimkabidhi zawadi mbalimbali kama ishara ya upendo na hungera kwa huhimili mikikimikiki ndini ya maisha ya shule kwa miaka yote akiwa shuleni.
Lakini kabla ya sherehe hizo kuanza huko shuleni kwao,Nyumbani  kwa Emanuel Ndani ya uwanja wa Sabasaba Matarawe Manispaa ya Songea wameonekana akina mama wakiamwandalia chakula yeye na wapambe wake,ndugu na jirani,Sherehe ni kula (.Source Christian Sikapundwa )  
Akina mama hao walianadaa wali mweupe na mwingine Pilau,unajua wasahili husema mchele ni mmoja lakini mapishi mbalimbali.watu wa pwani wana ujua zaidi mchele na aina mbalimbali za mapishi yake,mimi si mwanataaluma wa mapishi hayo.Na kwenye miti hakuna wajenzi,inamaana kule wanako ulima mpunga inawezekana  hakuna  mbwembwe nyingi za kuupika mchele huo.Je wewe wasemaje ? fuatilia ...............

Wednesday, October 20, 2010

VIJANA BAADA YA KUGUNDUA KUWA AJIRA IMEKUWA NI MAZUNGUMZO MAJUKWAANI KARIBU NCHI NYINGI DUNIANI,KUNA BAADHI YA VIJANA WAGUNDUA AJIRA YA CHAPCHAP HUKO NCHINI KENYE AJIRA GANI HIYO ENDELEA NA ‘FILER’ HAPO CHINI

BAADHI ya vijana nchini Kenya wamebuni ajira ya harakaharaka baada ya kuona ajira imekuwa wimbo wa majukwaani hasa kipindi cha chaguzi mbalimbali za uongozi duniani.

Kwa taarifa ya Wanyama Kibusire wa Kenya zinasema amekutana na vijana hao wakiwa katika ajira hiyo ambayo wanasema inawapa Dollar 7 za Kimarekani baada ya kumaliza kazi ambayo wamepangiwa na mwajiri wao,Siku hiyo hiyo.

Alisema vijana hao na wananchi wa Kenya wamoena njia rahisi ya kuemboleza msiba ndugu yao akifariki na kuajiri vijana kufika kuwalilia kuanzia chumba cha maiti,hadi nyumbani kwa mfiwa,walilia vijana hao wa ufundi mkubwa wakati wengine wakiomboleza kwa nyimbo za sala kama watakuwapo.

Ingawa baadhi ya madhehebu ya dini yamekipinga sana kitendo hicho,lakini vijana hao walisema ajira hakuna,kama kuna watu ambao hawana uwezo wa kuomboleza kwa kulia kwanini wao wasifanye kazi hiyo ambayo inawapa ujira.

Lakini kama kuna ajira ya kutengeneza masanduku ya kuzikia watu ambapo watu wenyewe hawajulikani watakufa lini  na kifo kipi na wapi wameruhusiwa kufanya hivyo sasa kwanini vjiana mabingwa wa kulia kwenye msiba wasiajiriwe?.Kazi ni kazi tusije tukadharau kazi za watu tutakuwa hatuwatendei haki.

Tuesday, October 19, 2010

WAKAZI WA MJI WA SONGEA HAWAPO NYUMA KWA KUJICHANA KWA VINYWAJI BARIDI,KUNA USEMI USEMA UKITAKA KUJUA NGUVU ZA MLEVI UMWAGE POMBE YAKE,SASA UKITAKA KUZIJUA NGUVU ZA MNYWA SODA UFANYE NINI?

Jumanne ya leo nilipo shuhudia Lori lililojazwa makasha matupu ya vinywaji baridi aina ya Coca Cola ,liloshambuliwa na wauzaji wa vinywaji hivyo katika mji wa Songea,karibu na baa za vinywaji vikali maarufu kwa jina la bia maeneo ya Standi ya mabasi yaendayo nje ya mkoa wa Ruvuma ,vijana wakitupia na makasha hayo kama mpira wa kikapu bila kuangusha.

Ilikuwa inafurahisha lakini wao ni ajira wala siyo mchezo,mwingine kajaribu kama hukupata kesi na mwenye kampuni ya soda au utozwe faini.Kazi ni kazi bwana usidharau kazi za watu ndizo zinazo wapa umaarufu.Hata hao wanao dai kuwa wakichaguliwa watatoa ajira,hazitakuwa tofauti sana na hizo.kwa hiyo tuheshimu ajira za watu.

Lakini kando kulikuweko na wateja wengine wakijiburudisha kwa soda,kutokana na jua kali liwakalo katika mji wa Songea lakini hautoki jasho,matokeo yake unazidi kuwa mweusi,lakini Dar,joto na jasho mtindo mmoja, mambo haya jamani yanafurahisha kweli.

DKT.NCHIMBI AENDELEA KUNADI SERA ZA CCM MISUFINI LEO KATIKA MANISPAA YA SONGEA,,KUWA TAREHE 31 MWEZI HUU SIKU CHACHE KUANZIA SASA WANANCHI WACHAGUE MAENDELEO, WACHAGUE VIONGOZI WATAKAO WALETEA MAENDELEO, NA KATIKA KATA YA MISUFINI WAMCHAGUE ELIZA NGONGI KUWA DIWANI WAO NA SIO MFA MAJI MAANA MFA MAJI HAACHI KUTAPATAPA.

 Dkta Emanuel Nchimbi anayetetea kiti chake cha ubunge jimbo la Songea Mjini kwa Tiketi ya CCM amemnadi mgombea uduwani wa kata ya Misufini Songea mjini Bibi Eliza Ngongi ambaye alikuwa naibu Meya wa Halmashuri ya Manispaa ya Songea,Nanatetea nafasi yake ya udiwani ambapo anagombea nafasi hiyo na mgombea kwa tiketi ya CHADEMA Bwana Mfamaji.Bibi Ngongi ni  msomi wa Shahada ya biashara amea ahidi mambo kadhaa.
 Ameyataja mambo hayo kuwa ni pamoja na kuboresha miundo mbinu ya barabara,Soko la manzese,maji safi na salama,bishara ndogondogo kwa akona mama.(Source Christian Sikapundwa)
 Dkt Nchimbi Mbunge na Eliza Ngongi waliye inamiana wakitetajambo kabla ya kwenda kusalimia wananchi waliye kwenda kwenye kampeni ya ubunge na Udiwani leo Katika manispaa ya Songea kata ya misufini.
Naibu Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea anaye wania Udiwani katika kata ya Misufini akimsikiliza kwa makini Mhe.Dkt Emanueli Nchimbi hayupo kwenye picha.Wakati akimsifia mgombea wa udiwani katika kata hiyo Bw.Mfamaji kuwa ni mtu mpole,mwenye unyenyekevu,msikivu na mwenye kuelewa watu wanahitajinini kutoka kwake.

Alisema Bw.Mfamaji yeye anajua hawezi kushinda udiwani katika kata hiyo,hivyo uchaguzi ujao atahamia kata nyingine,sifa hiyo kwake imemjenge sifa ya kuhama hama kata baada ya kushindwa katika chaguzi za udiwani.Lakini majina mengine yanaweza kuashiria jambo kuwa zuri kwake au baya kwake.Sasa mfa maji jamani haachi kutapatapa.ndiyo maana uhama kata hii kwenda kata nyingine baada ya kushindwa.( Source Christian Sikapundwa)

Monday, October 18, 2010

MKULIMA BADO HANUFAIKI NA KILIMO CHAKE ANAYE NUFAIKA NI MAFANYA BIASHARA ANAYEFUATA MAZAO VIJIJINI KWA WAKULIMA

 Hiyo ni shehena ya mahindi inayosafirishwa nje ya mkoa wa Ruvuma yaliyo nunuliwa na wafanya biashara kwa bei ya hasara,ukilinganisha na gharama walizotumia katika kilimo.Je mkulima huyu atakuja fanikiwa siku moja?.Anauza kwa bei ya hasara siyo kwa kupenda,kutokana na matatizo yakiwemo ya usafiri kufikisha mazo yake kwenye soko.Shehena ambayo ilitaka kukuta nyaya za umeme wakati likipita  lori hilo leo mjini Songea. ( picha na Christian Sikapundwa)

 Ruvuma inavuma kwa mazao mbalimbali,ya chakula na biashara yakiwemo kahawa,tumbaku,na korosho,kwenye chakula ni mahindi ,mpunga lakini kuna magarage ambayo unayaona yamerundikana chini yakingojea wa laji,aliyeumia hapo ni mkulima anae uza kwa hasara kwa wafanya biashara,wangekuwa na soko la uhakika wangenufaika na wao.
Magunia unayoyaona ni mahindi na maharage katika soko la SODEKO katika manispaa ya Songea wanasubiri kwenda kuya uza katika ghala la serikali Ruhuwiko kwa bei ya sh.300/=  kwa kilo wakati wao kwa wakulima wameyenunua kwa sh.150 /= kwa kilo.Je nani mjanja kati ya mkulima na mfanya biashara ?. ( Picha na Christian Sikapundwa)