Mkuu wa Shule ya sekondari Kalembo iliyoko katika Manispaa ya Songea Bwana Bosco Haule alithibitisha usemi huo katika ofisi za TUJIFUNZE wakati alipofika kuchukua maandalio ya masomo kwa walimu wake ambavyo alivichapisha. Bwana Haule ni yule aliyevaa kaumda suti ya buluu nyepesi pamoja na mhariri wa Ttujifunze Ofisini kwake hivi karibuni.
Tuesday, February 12, 2013
MAZINGIRA MAZURI YA KUFUNDISHIA NI PAMOJA NA VIFAA KATIKA SHULE ,MKUU WA SHULE KALEMBO SEKONDARI BW.HAULE ANATHIBITISHA UKWELI HUO
POPE BENEDICT XVI ANNOUNCES HIS RESIGNATION IN A SURPRISE STATEMENT
Pope Benedict XVI is to resign at
the end of this month after nearly eight years as the head of the Catholic
Church, saying he is too old to continue at the age of 85. That is a strong courageous step his resignation, actually ages matters to a very important position of a
Pope has , I support his decision.
Analysts say
Europeans - and Italian-speakers specifically - are still among the favorites,
but strong candidates could emerge from Africa and Latin
America, which both have very large Catholic populations. There
for we pray to God to get another Pope any were from the World, if from Africa it will be better.
The miracle from
God will happen at the end of this month at Vatican after prayers from
Cardinals to find out new Pope.
KWA NINI BINADAMU TUNASHINDWA KUWA WAVUMILIVU KATIKA MAISHA YETU ? KWA NINI WATU WAPIGANE HADI KUPOTEZEANA NAISHA KWA AJILI YA NANI KACHINJA NYAMA?
Jambo la wananchi kuchukua jukumu la kupigana hadi kutoana maisha kwa ajili ya nani kachinja ng'ombe au mbuzi.Imani hizi zitatupotezea heshima ya Taifa letu ambalo linajulikana kama kisiwa cha Amani.Kila mtu anahaki ya kuwa na imadi yake ya kuabudu ila inapofikia kwenye uhalali wa uchinjaji ikibainika kwa nini waumini hao wasiache kwenda kununua nyama ambayo haikufuata taratibu ya uchinjaji hadi imalizike buchani.
Ni jambo la kusikitisha sana,Serikali isilifumbie jicho tukio hilo lilotokea hivi katibuni za waumini wa Kikristo na Kiislamu kupigana,kuchoma bucha na hata kupoteza uhai wa watu,lisitokee tena sehemu nyingine busara haitaji kwenda shule.Wote ni ndugu moja.
UAMUZI WA KUJIUZURU UPAPA ,PAPA BENEDICT KWA UMRI WA MIAKA 85 NI WA BUSARA SANA KWA KANISA NA KWA WAUMINI WAKE
Uamuzi wa Papa kutangaza kwake kutaka kujiuzuru ifikapo saa sita usiku wa tarehe 28 mwaka huu ni wa busara sana kwa Kanisa na kwa waumini wa kanisa hilo.
Papa amesema kuwa umri wa miaka 85 aliyokuwa nayo inatosha katika kutoa huduma kwa kanisa hilo,ameona ni vyema aachie ngazi apishe mwingine aendeleze Utume huo ambaye atakuwa na nguvu na afya ya kutosha katika Utume huo.
Wapembuzi wa mambo wanajaribu kuangalia nani atakuwa mrithi wake,kutoka Barani Ulaya,Marekani ya Kaskazini au barani Afrika.
Uwezekano ukawepo Bara la Amerika na Afrika kwa kuwa na idadi kubwa ya waumini wa Kanisa hilo la Roman Catholic.Yote tuna mwachia Mungu kwa mwongozo wa Roho Mtakatifu kwa Makadlnali watako kutana kwa kazi hiyo.
Ambapo ishara ya moshi huo wa kuonyesha sala na maombi ya kumpata Papa mpya yamekubalika,Sala na maombezi ya waumini hao Duniani kutasaidia kazi hiyo kuwa nyepesi.
Sunday, February 10, 2013
Friday, February 8, 2013
LET US LOOK THE SOURCES OF POLLUTION EVERY WHERE IN THE WORLD
When we are talking the sources of pollution we are
environmental in life, there for the main sources of pollution is as follows :-
- Pollution by Industrial effluent, which can contain a variety of substances depending on the type of industry it come from. But the most dangerous compounds are those containing heavy metals such as mercury, silver and lead which are very poisonous. This because some industries do not have proper disposal mechanisms for these substances. These filter into water catchments areas such as swamps, springs, river valleys eventually ended this in drinking water, or animals which are fed on the grass, growing in the area then back into humans. Heavy metal poisoning causes a variety of disorders and death to many children.
- Pollution by domestic sewage. If there are no proper sanitation measures on domestic sewage which can be the source of pollution of water ,the number of ways it can ochre. water from washing of cooking pots, water joins to other sewage water from flushed toilets, water with fasces, urine and rotten food and many other contaminated substances.
WE SHOULD KNOW WHAT POLLUTION IS AND HOW IT IS AFFECT LIVING THINGS LIFE IN HUMAN LIFE
Pollution refers to adverse
changes in environment which affect biotic and
a biotic components. Also is a problem associated with development
activities, and may be the price paid for progress.
Some times the main channels of
global pollution are air and water.
Pollution may have a result in damage to vegetation, animals lives, human lives
and man’s property.
Normally different pollutants
come from a variety of sources. And the
accumulation and dispersal of pollutants are affected by metro-logical
conditions as well as socio – economic factors.
Actually the indiscriminate use
and mismanagement of water resources due
to human’s selfish motives have resulted in global water pollution And
finally pollution control requires mufti
– sect oral par participation. The participation/action of each individual
increases the probability of success of any pollution control programme.
Subscribe to:
Posts (Atom)





