Tuesday, February 12, 2013

MAZINGIRA MAZURI YA KUFUNDISHIA NI PAMOJA NA VIFAA KATIKA SHULE ,MKUU WA SHULE KALEMBO SEKONDARI BW.HAULE ANATHIBITISHA UKWELI HUO

 Mkuu wa Shule ya sekondari Kalembo iliyoko katika Manispaa ya Songea Bwana Bosco Haule alithibitisha usemi huo katika ofisi za TUJIFUNZE wakati alipofika kuchukua maandalio ya masomo kwa walimu wake ambavyo alivichapisha. Bwana Haule ni yule aliyevaa kaumda suti ya buluu nyepesi pamoja na mhariri wa Ttujifunze  Ofisini kwake hivi karibuni.



Bw.Haule ameshika maandalio ya masomo kwa ajili ya walimu wake ,ambayo atayagawa kwa walimu ili kupunguza ghasia ya kuandalia kwenye karatasi.

POPE BENEDICT XVI ANNOUNCES HIS RESIGNATION IN A SURPRISE STATEMENT


Pope Benedict XVI is to resign at the end of this month after nearly eight years as the head of the Catholic Church, saying he is too old to continue at the age of 85. That is a  strong  courageous step his resignation, actually  ages matters to a very important position of a Pope has , I support his decision.

Analysts say Europeans - and Italian-speakers specifically - are still among the favorites, but strong candidates could emerge from Africa and Latin America, which both have very large Catholic populations. There for we pray to God to get another Pope any were from the World, if from Africa it will be better.

The miracle from God will happen at the end of this month at Vatican after prayers from Cardinals to find out new Pope.

KWA NINI BINADAMU TUNASHINDWA KUWA WAVUMILIVU KATIKA MAISHA YETU ? KWA NINI WATU WAPIGANE HADI KUPOTEZEANA NAISHA KWA AJILI YA NANI KACHINJA NYAMA?

Jambo la wananchi kuchukua jukumu la kupigana hadi kutoana maisha kwa ajili ya nani kachinja ng'ombe au mbuzi.Imani hizi zitatupotezea heshima ya Taifa letu ambalo linajulikana kama kisiwa cha Amani.Kila mtu anahaki ya kuwa na imadi yake ya kuabudu ila inapofikia kwenye uhalali wa uchinjaji ikibainika kwa nini waumini hao wasiache kwenda kununua nyama ambayo haikufuata taratibu ya uchinjaji hadi imalizike buchani.
Ni jambo la kusikitisha sana,Serikali isilifumbie jicho tukio hilo lilotokea hivi katibuni za waumini wa Kikristo na Kiislamu kupigana,kuchoma bucha na hata kupoteza uhai wa watu,lisitokee tena sehemu nyingine busara haitaji kwenda shule.Wote ni ndugu moja.

UAMUZI WA KUJIUZURU UPAPA ,PAPA BENEDICT KWA UMRI WA MIAKA 85 NI WA BUSARA SANA KWA KANISA NA KWA WAUMINI WAKE

Uamuzi wa Papa kutangaza kwake kutaka kujiuzuru ifikapo saa sita usiku wa tarehe 28 mwaka huu ni wa busara sana kwa Kanisa na kwa waumini wa kanisa hilo.
Papa amesema kuwa umri wa miaka 85 aliyokuwa nayo inatosha katika kutoa huduma kwa kanisa hilo,ameona ni vyema aachie ngazi apishe mwingine aendeleze Utume huo ambaye atakuwa na nguvu na afya ya kutosha katika Utume huo.
Wapembuzi wa mambo wanajaribu kuangalia nani atakuwa mrithi wake,kutoka Barani Ulaya,Marekani ya Kaskazini au barani Afrika.
Uwezekano ukawepo Bara la Amerika na Afrika kwa kuwa na idadi kubwa ya waumini wa Kanisa hilo la Roman Catholic.Yote tuna mwachia Mungu kwa mwongozo wa Roho Mtakatifu kwa Makadlnali watako kutana kwa kazi hiyo.

Ambapo ishara ya moshi huo wa kuonyesha sala  na maombi ya kumpata Papa mpya yamekubalika,Sala na maombezi ya waumini hao Duniani kutasaidia kazi hiyo kuwa nyepesi.

Sunday, February 10, 2013

MANISPAA YA SONGEA JUMAPILI

 Leo pitapita zangu katika mitaa ya Manispaa ya Songea
Na kwa mbali ni soko kuu la Manispaa ya Songea

Friday, February 8, 2013

LET US LOOK THE SOURCES OF POLLUTION EVERY WHERE IN THE WORLD




When we are talking the sources of pollution we are environmental in life, there for the main sources of pollution is as follows :-
  • Pollution by Industrial effluent, which can contain a variety of substances depending on the type of industry it come from. But the most dangerous compounds are those containing heavy metals such as mercury, silver and lead which are very poisonous. This because  some industries do not have proper disposal mechanisms for these substances. These filter into water catchments areas  such  as  swamps, springs, river valleys eventually  ended this in drinking water, or animals   which  are fed on the grass, growing in the area  then  back into humans. Heavy metal poisoning  causes a variety of disorders and death to many children.
  • Pollution by domestic sewage. If there are no proper sanitation measures on domestic sewage which can  be the source of pollution of water ,the number of ways it can ochre. water from washing of cooking pots,  water  joins to other sewage water from flushed toilets, water with fasces, urine and rotten food and many  other contaminated substances.
Pollution by  agro – chemicals Farmers use a variety of chemicals which  have the potential to pollute water ,which are, Fertilizers of various types such as nitrates, phosphates  and sulphates, dissolve in water and some are carried into water catchments areas  .Water from heavily fertilized areas contain high  level of those compounds which are not good in human bo

WE SHOULD KNOW WHAT POLLUTION IS AND HOW IT IS AFFECT LIVING THINGS LIFE IN HUMAN LIFE




Pollution refers to adverse changes in environment which affect biotic and  a biotic components. Also is a problem associated with development activities, and may be the price paid for progress.
Some times the main channels of global pollution are air  and water. Pollution may have a result in damage to vegetation, animals lives, human lives and man’s property.
Normally different pollutants come from a variety of sources. And the  accumulation and dispersal of pollutants are affected by metro-logical conditions as well as socio – economic factors.
Actually the indiscriminate use and mismanagement of water resources due   to human’s selfish motives have resulted in global water pollution And finally pollution control requires  mufti – sect oral par participation. The participation/action of each individual increases the probability of success of any pollution control programme.