Friday, November 30, 2012

HOSPITALI YA MKOA YA SONGEA YAPATA MSAADA WA VIFAA VYA HOSPITALI TOKA DENMARK

   Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Mheshimiwa Dokta Teresa Hovisa Luoga akizungumza na uongozi wa Hospitali ya mkoa ya Songea katika ukumbi wa Hospitali  pamoja na vyombo vya habari leo.
 Bibi Biffa Barran Sulle Tanzania Ecology Serving Foundation Country Coordinator akiandika vifaa  hospitali vilivyo kuwepo kwenye container
Mganga mkuu wa hospitali ya mkoa Dokta Mallecela akito shukurani kwa wahisani,na Mheshimiwa Dkt Teresa Hovisa Luoga kwa  jitihadi alizozifanya ya kutafuta wahisani ambao wame toa vifaa vyenye thamani ya shilingi milioni 50.


Mheshimiwa Dkt Teresa Hovisa Luoga alisema vifaa hivi vitakabidhiwa kesho katika hospitali ya Mkoa na Mwenyekiti wa UWT Mkoa wa Ruvuma Bibi Kuluthumu ,akikabidhiwa na ( Coordinator wa wahisani hao,Bibi Biffa Barran Sulle baada ya kupokea Container la VIFAA hivyo naye kukabidhi  kwa uongozi wa Hospitali ya mkoa kwa niaba ya Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa Rais Dokta Teresa  Hovisa Luoga vyenye thamani ya zaid ya shilingi milioni hamsini za kitanzania ( shilingi 50 milioni )
Aidha Mhe. mashindano ya usafi,kwani usafi upo ndani ya moyo wa mtu,na kwamba miti ya mlima wa matogoro imepungua hivyo ipandwe mingine ili upungufu wa maji usije ukajitokeza kama ilivyo jitokeza mwaka huu.
 Naye Bibi Biffa Barran Sulle wa Tanzania Ecology Serving  Foundation   Country Coordinator alisema vifaa hivyo ni Item 247. katika Container hilo.Dkt Hovisa alisema msaada huo umetolewa na wazee wastaafu wa Denmark waliyotembelea Hospitali ya mkoa na kuona upungufu wa vitendea kazi ndipo waliporudi kwao  na wakachangishana na kupata vifaa hivyo.
Sambamba na hayo Mhe.Dokta Hovisa ametoa wito kwa wananchi wa Manispaa ya Songea wenye maduka kuwa kila mtu mwenye duka apande mti wa maua,ili kuboresha usafi wa Manispaa hiyo.
Alisema Manispaa iingie kwenye

Tuesday, November 27, 2012

FAST JET AIR LINE YAZINDUA USAFIRI WA NDEGE YAKE KWA BEI POA

 Baadhi ya abiria ambao walikuwa katika uziduzi wa ndege ya Fast Jet Air line wakiwa ndani ya ndege hiho,wanasema ndege zote ni sawa,lia ndege hiyo nauli yake ni nafuu sana inayo mwezesha Matanzania yeyote kuweza kusafiri nayo.
 Baada ya kuzunguka hadi Zanzibar ,Fast Jet ilitua tena kati uwanja wa Mwalimu Nyerere,abilia waliyo kuwemo katika ndwgw hiyo alikuwa wakishuka.
Mwandishi wa habari wa TBC akimhoji mfanyakazi wa kampuni ya ndege hiyo.Mwenye koti leusi,ambapo alisema nauli za ndege hiyo yenye uwezo wa kuchukua abiria 200 itakuwa nafuu na wala siyo nguvu ya soda.amesema mtu anakwenda Mwanza kwa Tshs 40,000/=.
Alisema ndege hiyo itafanya safari zake za Mwanza na Arusha,kuna ndege nyingine zinategemewa kuletwa na kampuni hiyo.na kwamba mtu yeyeto ataweza kumudu nauli za ndege za kampuni hiyo.
Amesema maduka kadhaa yamefunguliwa ya kukatia tiketi,uwanja wa ndege,Double three na maeneo mengine Jijini Dar es Salaam..Aidha alisema kwa siku ya kwanza zaidi ya abiria 100 walikata tiketi zao kwamba hiyo ni dalili na mwanzo mzuri wa kampuni hiyo.

KINYEREZI KUJENGWA MIRADI MITATU YA UMEME WA GESI

Enjinia Felchism Mramba elezea jitiahada za shirika la Umeme linavyo jipanga kupunguza tatazo la umeme kwa wakazi wa Jijini Dar es Salaam kwa kuwa na miradi mitatu ya umeme wa Gesi maeneo ya Kinyerezi Jijini Dar es Salaam.Alitaja miradi hiyo kuwa na Mradi wa MEGAWAT 159,wa MWGAWAT 240 NA wa MEGAWAT 300.Utakao anza mwaka ujao .

IFIKAPO MWAKA 2015 TATIZO LA UMEME LITAKUWA HADITHI - KIKWETE

 Rais Jakaya Kikwete awambia watanzania kuwa ifikapo mwaka 2015 tatizo la umeme litakuwa hadithi,kutokana na kuongezeka kwa umeme wa Gesi na makaa ya mawe ambayo ni mengi yatakayo zalisha umeme wa kutosha ukisha anza kuzalisha umeme.
Rais Dkt Jakaya Kikwete amewshukuru Watu wa Jamhuri ya China kwa kutoa fegha nyingi katika mzadi wa kuzalisha umeme wa Gesi.'Akufaae kwa dhiki ndiyo rafika' alisema Rais Kikwete wakati akizunguma Jijini Dar es Salaam kuhusu ufumbuzi wa tatizo la umeme wa kutegemea mvua kunyesha.

Wednesday, November 21, 2012

HOSIPTALI YA MKOA YA SONGEA IMEKUMBWA NA UHABA WA MAJI KUTOKANA NA UKAME ULIYO JITOKEZA KWA MWEZI MMOJA SASA

Moja ya jengo la majengo ya Hospitali ya Mkoa ya Songea,Jengo la upasuaji.ambapo maji yamekuwa tatizo kubwa katika ufanisi wa kazi katika Hospitali hiyo ya Mkoa.

WAANDISHI WA HABARI WA MAGAZETI VIJIJINI - TUJIFUNZE KANDA YA KUSINI WAMEANZA KUKUSANYA HABARI ZA GAZETI LAO

 Bwana Juma Nyumayo na Bw.Joram Mwaipopo wakisalimiana katika ofisi ya Mhariri kabla hajaanza safari ya kwenda Mkoani Lindi kuandika habari za TUJIFUNZE toleo la Desemba mwaka huu.
 Bwana Gedion Mwakanosya akiwa katika ofisi ya Tujifunze akisoma mambo muhimu anayotakiwa kwenda kuandika kwa ajili ya Gazeti hilo.karika mkoa wa Mtwara.
Bwana Juma Nyumayo mwenye T - Shirt ya mistari na waandishi wenzake wakisikiliza maelekezo ya kwenda kufanya katika mikoa ya Lindi na Mtwara.

Sunday, November 18, 2012

BREAKING NEWS WANANCHI WA JIJI LA NAIROBI WAFANYA MAANDAMANO YA AMANI YA MAUAJI YA ASKARI WALIYO ULIWA KUASHIRIA USALAMA WA RAIA HAUPO SALAMA NCHINI KENYA

NCHINI Kenya kumekumbwa na mauaji ya ugaidi ambapo maaskari 35 wamauawa kutokana na ugaidi uanao endelea  hivi sasa,ambapo bomu lililotegwa kwenye daladala limelipuka na kua abiria  5  Isilii Jijini Nairobi   na majerui 18 walipelekwa hospitali kwa matibabu.