Mr & Mrs Christian Sikapundwa baada ya kutoka kwenye ibada ya Christmas nyumbani kwao Dodoma
Familia ya Sikapundwa wakiwa nyumbani kwao wakipata chakula ikiwa ni ukamilishaji wa sikukuu ya Christmas
Kaka yake Mkubwa Bw.Sikapundwa Mzee Ally wa Kimamba Kilosa wakiwa katika kusheherekea Christmas.
waumini wa Kanisa la makole Manispaa ya Dodoma wakiangalia pango alipozaliwa Yesu Kristu katika zizi la wanyama.
Familia ya Sikapundwa baada ya chakula cha Christmas nyumbani kwao Uhindini,karibu na Makole Mjini Dodoma.
Sunday, December 26, 2010
HERI YA CHRISTMAS NA MWAKA MPYA KWA WATU WOTE ,PAMOJA NA FAMILIA TAKATIFU LEO
Hilo pango ni kiwakilishi cha eneo la zizi la wanyama ambapo Yesu Kristu alizaliwa mahali duni,ili kutimaza ahadi ya kumkomboa mwanadamu
Baaada ya ibada ya mkesha wa Christma,waumini wakionekana wakitoka katika ibada ya kwanza katika kanisa la Parokia ya Makole katika manispaa ya Dodoma.
Hiyo ni kwaya ya ibada ya asubuhi iliyo imba katika misa hiyo Christmas katika kanisa la Parokia ya Makole Mjini Dodoma.
Baaada ya ibada ya mkesha wa Christma,waumini wakionekana wakitoka katika ibada ya kwanza katika kanisa la Parokia ya Makole katika manispaa ya Dodoma.
Hiyo ni kwaya ya ibada ya asubuhi iliyo imba katika misa hiyo Christmas katika kanisa la Parokia ya Makole Mjini Dodoma.
Saturday, December 25, 2010
MERRY CHRISTMAS AND HAPPY NEW YEAR OF 2011
The Rural Press staff wishes the all Bolger's readers merry Christmas and a happy beginning of new year 2011.And God will bless you and your family.
Thursday, December 23, 2010
MHESHIMIWA DIWANI MFAMAJI KUPITIA CHADEMA KATA YA MISUFINI AMEPATA SINTAFAHAMU PALE OFISI YAKE ILIPO CHOMWA MOTO NA WATU WASIOJULIKANA
Diwani wa kata ya Misufini katika Manispaa ya Songea Bw. Mfamaji amejikuta katika hali ya sintafahamu pale alipo kuta ofisi yake ikiteketea kwa moto,pamoja na nyaraka zake muhimu za kufasnyia kazi.
kwa mujibu wa watu walioshuhudia ofisi hiyo ikiteketea kwa moto na kujaribu kuisalimisha na kushindikana,walisema chanzo cha moto huo bado hakijajulikana,bali watu wasiojulikana ndio waliosababisha moto huo.labda kwa chuki zao zilizo wafanya kutimiza tendo hiho la fedhea,katika jamii yenye watu wenye akili wanaokubali ushindani ni kitugani.
Tuesday, December 21, 2010
POLISI WATEMBEZA MKONG'OTO NA MABOMU YA MACHOZI WA WASOMI WA CHUO KIKUU CHA DODOMA ( UNIVERSITY OF DODOMA ) UDOM KWA MADAI YA FEDHA ZA FIELD
hayo ni baadhi ya majengo yaliyojengwa ya Chuo Kikuu cha Dodoma kulingana vitivo mbalimbali
Uzuri wa majengo pekee haumtoshelezi mwanafunzi kufanya vyema katika masomo yake ya miaka mitatu au mnne na zaidi iwapo hatapatiwa mahitaji muhimu ya kufanikisha maendeleo ya masomo yake ikiwepo,research,pamoja na field mbalimbali .Iwapo hatapata mahitaji hayo wakati akiwa katika harakati za kutafuta shahada yake ndipo uzalendo unaondolewa na migomo inatawala ndani ya vyuo vyetu
Majengo ya Kitivo cha Social Science ambapo wanafunzi wa kitivo hicho jana walipata mkong'oto na kumwagiwa mabomu ya machozi,baada ya kugoma,wakiwa na madai ya fedha za Field zao,baadhi yao wamejeruhiwa na kulazwa hospitali ya Mkoa,hata hivyo wanadai kupeleka malalamiko yao kwa Waziri Mkuu.
Uzuri wa majengo pekee haumtoshelezi mwanafunzi kufanya vyema katika masomo yake ya miaka mitatu au mnne na zaidi iwapo hatapatiwa mahitaji muhimu ya kufanikisha maendeleo ya masomo yake ikiwepo,research,pamoja na field mbalimbali .Iwapo hatapata mahitaji hayo wakati akiwa katika harakati za kutafuta shahada yake ndipo uzalendo unaondolewa na migomo inatawala ndani ya vyuo vyetu
Majengo ya Kitivo cha Social Science ambapo wanafunzi wa kitivo hicho jana walipata mkong'oto na kumwagiwa mabomu ya machozi,baada ya kugoma,wakiwa na madai ya fedha za Field zao,baadhi yao wamejeruhiwa na kulazwa hospitali ya Mkoa,hata hivyo wanadai kupeleka malalamiko yao kwa Waziri Mkuu.
Saturday, December 18, 2010
JUMAMOSI YA LEO NAKULETEA MUENDELEZO WA MAKAO MAKUU DODOMA,NIKIANZAIA NA ROUND ABOUT TAMISEMI STAND YA DALADALA NA MAENEO MUHIMU KATIKA MANISPAA YA DODOMA
Round about ( TAMISEMI) katika Manispaa ya Dodoma
Stand ya daladala Jamatin ziendazo na zitokazo Mnadani ,Kuhungu,maili mbili
Jengo la NMB Dodoma pamoja na Chuo Kikuu cha Dodoma (UDO),mtaa ambao ni maarufu sana uendao katika makao makuu ya CCM Mjini hapa.
Nyerere Square ambapo watu hupenda kupigia picha kwa ajili ya kumbukumbu kama alivyo mwanachuo wa CBE Bwana Joseph Sikapundwa katika bustani hiyo hivi karibuni.
Stand ya daladala Jamatin ziendazo na zitokazo Mnadani ,Kuhungu,maili mbili
Jengo la NMB Dodoma pamoja na Chuo Kikuu cha Dodoma (UDO),mtaa ambao ni maarufu sana uendao katika makao makuu ya CCM Mjini hapa.
Nyerere Square ambapo watu hupenda kupigia picha kwa ajili ya kumbukumbu kama alivyo mwanachuo wa CBE Bwana Joseph Sikapundwa katika bustani hiyo hivi karibuni.
Thursday, December 16, 2010
Je unaijua Nyerere Square ,Manispaa ya Dodoma? Au Makao Makuu .
Nyerere square ni bustani iliyopo katika Manispaa ya Dodoma,imejengwa hapo kwa ajili ya kumbukumbu ya Baba wa taifa Mwalimu Julius Kambalage Nyerere katika makao Makuu ya Nchi.
Eneo hili watu hufika kupiga picha za kumbukumbu mbalimbali .
Pia kuna miti ya kivuli watu hupumzika na kujipatia vivywaji baridi,siku za kazi lakini siku za Juma mosi na Jumapili mgahawa huo haufanyi kazi,kumbe siku kama hizo ndiyo za kutangeneza fedha.Lakini usijali hayo karibu katika eneo hili la ukumbusho.
Eneo hili watu hufika kupiga picha za kumbukumbu mbalimbali .
Pia kuna miti ya kivuli watu hupumzika na kujipatia vivywaji baridi,siku za kazi lakini siku za Juma mosi na Jumapili mgahawa huo haufanyi kazi,kumbe siku kama hizo ndiyo za kutangeneza fedha.Lakini usijali hayo karibu katika eneo hili la ukumbusho.
Subscribe to:
Posts (Atom)